Dira na Dhamira

Dhamira yetu:

"Kuanzisha na kusimamia maeneo ya hifadhi ya bahari ya Tanzania kwa matumizi endelevu"

Dira yetu:

"Kuhakikisha maeneo tengevu ya hifadhi za bahari Tanzania yanakua furaha na fahari kwetu sote"

Kauli mbiu yetu:

"Tushiriki kwa pamoja kunufaika na zawadi ya maliasili"